Ni
kwenye mkutano wa hadhara Pugu Dar es salaam ikiwaa ni muendelezo wa
ziara ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kusikiliza kero
mbalimbali za wananchi amekutana na kero ya maji Pugu. Baada ya meneja
wa mradi huo kueleza changamoto wanazozipata kwenye mradi huo na
kusababisha maji kutotosheleza RC Makonda aliahidi kutoa milioni 13.
RC MAKONDA AHIDI MILIONI 13 KUTATUA TATIZO LA MAJI PUGU..
Reviewed by Chimbuko Online
on
November 24, 2016
Rating: 5
No comments
+255716829257