Habari mpya

VIDEO & PICHA: RAIS MGUFULI ALIVYOWAAPISHA WAKURUGENZI LEO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM..


July 12 2016 wakurugenzi wateule wa Halmashauri, Wilaya, Majiji na Manispaa wamekula kiapo cha uadilifu kwa viongozi wa umma, shughuli hiyo imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
2 (2)
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Kassim Majaliwa 
55
Rais John Pombe Magufuli
TT
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
44
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Luhende Pius ambaye  kumekuwa na taarifa potofu juu ya taaluma yake.
UU
Kamishna wa Maadili kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji (Mst.) Salome Kaganda
1 33 UG
HHHadbff5f9-b099-439d-912f-d1ea57c2cf2f.jpg
Tazama video hapa chini..

No comments

+255716829257