MICROSOFT YAANZA BIASHARA YA BANGI NCHINI MAREKANI..
Kampuni ya Microsoft imekuwa ya hivi
karibuni kujiunga na biashara ya kuuza bangi katika majimbo ya nchini
Marekani ambako inaruhusiwa kwa mujibu wa sheria za majimbo hayo.
Kampuni
hiyo imeungana na kampuni nyingine "Kind Financial - inayotengeneza
programu za kusaidia wadhibiti kufuatilia uzalishaji na mauzo ya bangi.Majimbo kadhaa nchini Marekani yameruhusu uuzaji wa bangi kwa matumizi ya kimatibabu na kujistarehesha, japo imeharamishwa chini ya sheria kuu za nchi hiyo.
CHANZO: BBC
No comments
+255716829257