Habari mpya

MICROSOFT YAANZA BIASHARA YA BANGI NCHINI MAREKANI..

Kampuni ya Microsoft imekuwa ya hivi karibuni kujiunga na biashara ya kuuza bangi katika majimbo ya nchini Marekani ambako inaruhusiwa kwa mujibu wa sheria za majimbo hayo.
Kampuni hiyo imeungana na kampuni nyingine "Kind Financial - inayotengeneza programu za kusaidia wadhibiti kufuatilia uzalishaji na mauzo ya bangi.
 
Majimbo kadhaa nchini Marekani yameruhusu uuzaji wa bangi kwa matumizi ya kimatibabu na kujistarehesha, japo imeharamishwa chini ya sheria kuu za nchi hiyo.
CHANZO: BBC

No comments

+255716829257