SUALA LA KUFUKUZWA KWA WANACHUO UDOM, WABUNGE WATOLEWA NJE YA BUNGE...
Naibu Spika Tulia Ackson ameamuru Wabunge kutolewa nje ya bunge baada ya baadhi ya Wabunge hao kusimama kupinga kitendo cha bunge kakataa kujadili suala la Serikali kuwataka wanafunzi wa UDOM kurudi kwao ndani ya saa 24 kufuatia mgomo wa Walimu unaoendelea kwa sasa.
PICHA na millardayo.com
No comments
+255716829257