MKE WA MAREHEMU SAJENT KINYOGORI AKIRI KUHUSIKA KWENYE MAUAJI..
Mke wa trafiki wa usalama barabarani Sajent Ally ‘Kinyogori’ aliyeuawa hivi karibuni, inadaiwa amekiri kuhusika kwenye mauaji hayo akidai ilitokana na mumewe kumuacha na kuoa mke mwingine.
Kamanda wa Police kanda maalum ya Dar es Salaam Simon Sirro aliwaambia waandishi wa habari kuwa mwanamke huyo anashikiliwa na police kwa mauaji hayo yaliyofanyika nyumbanii kwa Kinyogori, Mkuranga mkoani Pwani
Mke wa trafiki Sajenti Ally Salum 'Kinyogori' adaiwa kukiri kumua mumewe, akidai ilitokana na mumewe kumuachapic.twitter.com/35m3acfqG9— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#NIPASHE Maalim Seif anatarajiwa kuhojiwa leo kwa kile kilichoelezwa ni juu ya masuala mbalimbali ya kiusalamapic.twitter.com/bFSJs9TJqF— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#MWANANCHI Mahakama Kuu Kenya imebatilisha marekebisho ya sheria yaliyompa Rais mamlaka ya kuteua Jaji Mkuu pic.twitter.com/q9kSbZhnoM— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#MWANANCHI Ofisi ya Takwimu imesema utafiti wa hali ya Ukimwi utakaofanyika utachukua sampuli kuanzia mtoto mchangapic.twitter.com/9WJwGWBl2U— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#MAJIRA Polisi inamshikilia anayedaiwa kuhusika na mauaji ya Aneth Msuya ambaye aliuawa ktk mazingira ya kutatanishapic.twitter.com/CxVoyJvErM— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#MTANZANIA Upinzani bungeni watangaza kutokuwa na imani na Naibu Spika kwa kile walichoeleza anayumbisha Bungepic.twitter.com/Z4KHEzGPTh— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#MTANZANIA Udart imesema mabasi yake 34 yamepata ajali tangu kuanza mradi wa mabasi yaendayo harakapic.twitter.com/vDrtpSjikB— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#TanzaniaDAIMA Bunge lilivurugika baada ya wabunge kutaka ujadiliwe mgogoro uliosababisha wanafunzi UDOM kutimuliwapic.twitter.com/qrRi6OGjq3— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#NIPASHE Wamiliki sita wa madanguro na wauza miili yao maarufu kama kaka na dada poa, wametiwa mbaroni Darpic.twitter.com/bltfR6QFuZ— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#HabariLEO SMZ imesema sheria ya uchaguzi ya mwaka 1984, kurekebishwa ili kuwabana watendaji wasiozingatia uadilifupic.twitter.com/ZCvWOBHL37— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#MWANANCHI Mbunge Khatibu Said amtaja JK sakata la EPA, asema alikiuka katiba kutoa msamaha kwa watu waliotuhumiwapic.twitter.com/AUSbkDOfhC— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#MWANANCHI Mkazi wa Buguruni akamatwa kwa madai ya kuwauzia kuku waliokufa wafanyabiashara wanaokaanga chipsipic.twitter.com/udFSJlntvh— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#MWANANCHI SUA yaanza kuhakiki wanafunzi ili kubaini wasio na sifa na vigezo vya kusoma kozi mbalimbali chuoni hapopic.twitter.com/7wVOqrj87U— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#MWANANCHI Serikali yakosa majibu ya lini itapeleka bungeni muswada wa sheria ya kutambua kuwa Dodoma ni makao makuupic.twitter.com/heQSuIMyx7— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#JamboLEO Baada ya tetesi za Kipre Tchetche kusajiliwa Yanga, uongozi Azam umeibuka na kusema hawawezi kumuuzapic.twitter.com/1srjDkrYbk— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#NIPASHE Mbwana Samatta amesema ndoto yake nyingine ya kucheza mashindano ya Ulaya imetimia. pic.twitter.com/7HSBLVuLa9— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
#BINGWA Simba inatarajiwa kumtangaza Kocha Mkuu leo, inadaiwa ni Mzimbabwe anayekinoa kikosi cha timu ya Taifa lakepic.twitter.com/yVQae7x8Ps— millard ayo (@millardayo) May 31, 2016
chanzo: millardayo.com
No comments
+255716829257