Daraja la kisasa kuzinduliwa Kigamboni
Rais Joseph Pombe Magufuli wa Tanzania atafungua daraja la Kigamboni hapo kesho.
Daraja hilo litaunganisha eneo la Kigamboni na mji wa Dar es Salaam.
Ujenzi wa daraja hilo umegharimu zaidi dola milioni 140.
Daraja la Kigamboni linatarajiwa kurahisisha usafiri na uchukuzi jijini humo.
Daraja hilo ndilo daraja refu zaidi Afrika Mashariki linalobeba uzito kwa nyaya.
BBCswahili
Daraja la kisasa kuzinduliwa Kigamboni
Reviewed by Chimbuko Online
on
April 19, 2016
Rating: 5
No comments
+255716829257