Habari mpya

BREAKING NEWS: AGNESS MASOGANGE AFARIKI DUNIA..

Image result for break news
Taarifa zilizotufikia muda huu hapa ni kwamba Video queen  maarufu nchini Agness Masogange amefariki dunia mchana huu katika Hospitali ya Mama ngoma Mwenge kwa mujibu wa mawasiliano na chanzo cha karibu cha marehemu na kuthibitisha kifo chake.
Chimbuko blog inatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
Image result for masogange
Marehemu Agnes enzi za uhai wake..

Tutaendelea kuwajulisha taarifa zaidi kuhusu msiba huu.
Source; millardayo.com

No comments

+255716829257