Habari mpya

WHATSUP KUANZISHA HUDUMA YA MAWASILIANO YA VIDEO "VIDEO CALLING"..

WhatsApp inatarajia kuanzisha huduma ya mawasiliano ya video.
WhatsApp-video-calling
Hivi karibuni iliweka version ya majaribio kwa watumiaji wachache lakini imeitoa kwaajili ya kuifanyia marekebisho zaidi.
Video calling kwa WhatsApp imekuwa ikifanyiwa kazi kwa takriban miezi sita sasa ambapo December mwaka jana screenshots za version ya iOS ya app hiyo ilivuja ikionesha huduma hiyo.
Na sasa huduma hiyo iko mbioni kutambulishwa kwa watumiaji wa app hiyo duniani kote. Wikiendi iliyomalizika baadhi ya watumiaji waliripoti kuwa option ya WhatsApp ilipatikana kwenye beta version 2.16.80.
chanzo: Bongo5

No comments

+255716829257