Umoja wa Wabunge wanawake UKAWA wametoka nje ya ukumbi wa Bunge Dodoma baada ya jana Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga kusema kuwa 'Wabunge wote wa viti maalum CHADEMA ili wapate nafasi hizo ni lazima waitwe kwanza Baby.
page
Hivi ndivyo Wabunge Wanawake UKAWA walivyotoka nje ya Bunge wakikataa Kuitwa 'Baby'
Reviewed by Chimbuko Online
on
May 06, 2016
Rating: 5
No comments
+255716829257