ENTERTAINMENT Mrembo aliyeoteshwa ndoto ya kukutana na Diamond Platnumz U Heard (+Audio)
April 20 2016 kupitia U Heard ya Soudy Brown, nakukutanisha na binti anayedaiwa kuoteshwa na kusikia sauti zaidi ya mara tatu inayomwambia afunge safari kutokea Dodoma kuelekea Dar kukutana na Diamond Platnumz, millardayo.com imekuwekea full stori.
‘Ni sauti kama ya kiume yaani sioni mtu lakini nasikia kitu kinaniambia kwamba nikitaka kufanikiwa nisikae kuangaika yaani nikitaka kufanikiwa nifunge safari kuja Dar, maisha ya nyumbani kwetu ni magumu sana tunaishi kwenye nyumba ya kupanga‘ >>>Mtoto aliyeoteshwa
Full stori ipo kwenye hii sauti hapa chini…
fuata link hii..http://www.hulkshare.com/millardayo1/hekaheka-20-2016-1
CHANZO:clouds fm/U-heard
No comments
+255716829257