Habari mpya

VUNJA MBAVU.

1) Alizama baharini kwa muda wa dakika 30, akaibuka akiwa mkavu kabisa.
2) Alizama baharini na mshumaa unaowaka kwa muda wa dakika 30 akaibuka nao ukiwa unaendelea kuwaka.
3) Alitandika mkeka juu ya bahari akalala, alipoamka asubuhi akaanza kukung’uta vumbi
Nani mkali kuliko Mwenzie?.

No comments

+255716829257